Bongo Flava Mzuka

Kama wewe ni msela wa muziki wenye miporomoko ya reggae/ragga  na mixa zingine za muziki kama zouk,afrikan Jazz.  Je umeshawahi kumsikia kwenye bomba au kumtia machoni jukwaani Mani au Ras Nas au  Nasibu Mwanukuzi. Ras Nas ni mbongo anayefanya shughulii zake za muziki uzunguni nchini Norway ndani ya Oslo.

Jambo moja ambalo pengine masela na mashabiki wake hawajui ni kuwa Ras Nas au Mani Nas ni mwanasheria kitaaluma. Alipiga buku sheria katika chuo kikuu cha Dar-es-salaam. Anaweza kutunga na kudodondosha mashairi hatari... usipime!!